Skip to main content

Posts

Showing posts from August, 2024

DAWA ZA KUEPUKA KAMA UNA KISUKARI

Dawa gani nisitumie kama nina Kisukari? Katika sayansi ya dawa kuna kitu kinaitwa muingiliano (drug interaction), hii inaweza kuwa muingiliano kati ya dawa na dawa, muingiliano kati ya dawa na ugonjwa, au muingiliano kati ya dawa na chakula.  Katika makala hii tutaangazia muingiliano wa dawa na ugonjwa wa kisukari pia muingiliano wa baadhi ya dawa na dawa za kisukari, kuna dawa ambazo zinaweza kusababisha sukari ya mwili kupanda, au dawa ambazo zinaweza kuzuia dawa zako za kisukari zisifanye kazi yake vizuri.  Kisukari ni nini? Kisukari ni hali ambayo husababisha kiwango cha sukari katika damu kuwa juu isivyo kawaida. Kulingana na sababu zinazoweza kusababisha hali hii, kuna aina mbalimbali za kisukari: Kisukari Aina ya 1 (Type 1 Diabetes) Hii ni hali ambapo mwili hauwezi kuzalisha insulini kabisa. Hii ni kwa sababu seli za kongosho (pancreas) zinashambuliwa na mfumo wa kinga wa mwili na kuharibiwa. Hali hii inaweza kuwa ya kurithi na mara nyingi huanza utotoni au ujana, lakin...

SEX IS THE MIND GAME

Understanding the impacts of Stress, Depression and Self-confidence on Sexual Health. Sex is the byproduct of great connection and intimacy, not the replacement for or the source of.  Sexual chemistry and attraction is based on how someone feels more about themselves, rather than their partner. So if you feel you are not as attractive, or you feel you’re not investing yourself in growing, or feeling you’re not becoming more and better, it's unlikely you’re going to want to share your body, mind, emotions and heart with anyone else in the most physical and intimate way which is sex. STRESS Stress is the natural human response that prompts us to address challenges and threats in our lives, a new job for example, or a new relationship, a difficult task you've been given, etc. So a little bit of stress is good, it helps us perform our daily activities.  Too much stress on the other hand, it doesn't do us any good, it can cause physical and mental health problems, one of them is...

Dawa Zinazo Haribika Mapema baada ya Kufunguliwa | Jinsi ya Kuhifadhi kwa Usahihi

 ZIFAHAMU DAWA ZAKO Matumizi sahihi ya dawa si kufuata tu ushauri wa mbili mara tatu! Baadhi ya dawa zina muda maalumu wa kutumika baada ya kuwa zimefunguliwa, hasa dawa zilizoko kwenye mfumo wa maji. Katika makala hii, tutaangazia muda sahihi dawa zinaweza kutumika bila kuleta shida kiafya na jinsi ya kuhifadhi ili kudumisha ufanisi na ubora.  Poda za kuchanganya: Zitumike ndani ya siku 7 tu! Dawa zilizotengenezwa kwa mfumo wa poda, mfano antibiotiki: amoxicillin, ampiclox, n.k. ukisha zichanganya na maji zinaweza kutumika ndani ya siku saba pekee. Baada ya siku saba uwezo wa dawa hizi kufanya kazi hupungua.  Baadhi ya dawa zina maelekezo ya kutunzwa kwenye jokofu (fridge), hivyo soma maelekezo kwenye boksi ama karatasi ya maelezo iliyo ndani ya boksi, ama muulize mtaalamu wa afya jinsi gani ya kuhifadhi dawa zako.  MUHIMU: Hakikisha unafunga vizuri chupa baada ya kila matumizi ili kuepuka kuingiza hewa na vijidudu.  Dawa za maji (syrup): Zitumike ndani ya siku...